NISITIRI DHAMINI HEDHI CAMPAIGN: MCHINGA EXPERIENCE – PHASE II

MIPINGO SECONDARY SCHOOL, LINDI TANZANIA

Oktoba 2021 tulitembelea shule nne za sekondari Wilayani Lindi katika jimbo la Kisiasa la Mchinga. Tuliweza kuwafikia mabinti 584 kwenye shule hizo kwa kuwapatia elimu ya makuzi, afya ya uzazi na afya ya hedhi. Pamoja na kutoa elimu hiyo, tuliwapatia pia zawadi za taulo za kike za kufua kwa ajili ya kujisitiri wakati wanapokuwa katika hedhi ya mwezi; Nisitiri Reusable Sanitary Pads

Beautiful girls of Mipingo Secondary School, Lindi – Tanzania
Madam Lorna explaining how to use and care Nisitiri Reusable Sanitary Pads to Mipingo Secondary school girls
Mr. Naseem offering reproductive health education to Mipingo Secondary School girls
Madam Sheila offering Menstrual Hygiene and Health management education to Mipingo Secondary School girls
Some of Mipingo Secondary School girls with their Nisitiri Reusable Pads gifts
Liquid absorption test
2 replies

Trackbacks & Pingbacks

Leave a Reply

Want to join the discussion?
Feel free to contribute!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *