HEDHI – Kikwazo cha Elimu kwa Baadhi ya Mabinti

Kuna sababu nyingi zinazopelekea mabinti katika nchi zinazoendelea kutokuendelea na elimu ya sekondari au kutokumaliza elimu ya sekondari.

 

Kitu kikubwa kinachowafananisha wanawake wote duniani ni suala la hedhi anayopata mwanamke kila mwezi. Mwanamke hupata hedhi kwa wastani wa miaka arobaini. Katika kipindi chote cha miaka arobaini mwanamke anaweza kutumia Vihifadhi Hedhi (pads) Zaidi ya 11,000 ambazo inambidi anunue.

Read more