NISITIRI: Nina Vipande vya Maisha Vilivyopotea

Wanayopitia Mabinti katika Ubinti wao!
“Maisha yangu yamejaa uchungu na aibu” ….. Batuli Mwinyiheri
“Ninatamani kuendelea na masomo lakini nashindwa kutokana na hali halisi ya maisha yangu na wazazi wangu.
Nina umri wa miaka 14, baba yangu mzazi alishafariki na mama yangu aliolewa na mwanaume mwingine. Mume wa mama yangu, yaani baba yangu anayenilea sasa amekuwa akinitesa japo kama hupitii ninachopitia huwezi kuamini kama ananitesa. Mbele za watu anaonekana kutujali mimi na mama lakini sivyo ilivyo katika maisha halisi tunayoishi nyumbani kama familia.
Mama yangu amekuwa dhaifu kiafya kwa muda wa miaka miwili sasa. Anasumbuliwa na mgongo kutokana na kupigwa na baba. Mimi ndiye nimekuwa nikimtunza mama hasa nyakati za mchana ambapo baba anakuwa amekwenda shambani.
Nimeshavunja ungo. Nikiwa katika siku zangu huwa ninapata maumivu makali sana ya tumbo, mgongo, kiuno na kichwa. Katika kipindi kama hiki, siwezi kuvuka kizingiti cha mlango kwa sababu damu inachuruzika sana na sina kitu cha kuweka ili isipitilize.
Nguo zangu zimechakaa zote hadi sasa navaa nguo za shule hata ninapokuwa nyumbani nikimuuguza mama.
Mimi ndiye nafanya kila kazi nyumbani. Naamka saa kumi na moja asubuhi ili nikateke maji, nirudi nichanje kuni, nisafishe uwanda wa nyumba, niandae kifungua kinywa. Nimuogeshe na kuhakikisha amekula vizuri.
Nikitaka chochote kutoka kwa baba hata kama ni kwa ajili ya chakula anasema ni lazima nilipie. Nikimwambia sina hela anafanya tendo la ndoa na mimi kwanza ndipo anipe ninachohitaji. Wakati mwingine ananifanyia hivyo na asinipe ninachohitaji. Mara nyingi ananiambia inabidi nimsaidie mama yangu kwani alimuoa kwa ajili hiyo. Sijawahi kumwambia mama kwani najua ataumia sana. Naona kabisa maisha yangu yanavyopotea.
Nakushukuru sana nimeongea na wewe. Naomba unisaidie mama yangu apone. Akipona nitafurahi sana. Mama akipona najua nitarudi shule. Lakini pia naomba unisaidie nipate vitambaa vya kuweka nikiwa kwenye siku zangu.”
Awesome post! Keep up the great work! 🙂
Thank you for visiting. Your comment means a lot to us. Let us do it for the Girls! For Love, For our nation! For the World.
Nice post. I was checking constantly this blog and I am impressed!
Extremely useful information specially the last part 🙂 I
care for such information much. I was seeking this certain info for a long time.
Thank you and best of luck.
Thank you very much. Together we can make this world the best place for everyone
This paragraph is genuinely a good one it assists new internet visitors, who are wishing for blogging.
Thank you Jacob for the compliments.
Simply wish to say your article is as astonishing.
The clarity in your post is simply cool and i could assume you’re an expert on this subject.
Well with your permission let me to grab your RSS feed to keep updated with forthcoming post.
Thanks a million and please keep up the gratifying work.
Thank you Aviana, it is a pleasure reading from you. It means a lot to me and the team.
Thank you for visiting.
Tank you Frankie for visiting and for the remarks. God Bless your
Thank you Sharia, thank you very much for the compliment.
Thank you. Honestly I don’t know how it is done to be listed on Yahoo News, may be they just picked the article
Thank you
obviously like your web-site however you need to take a look at the spelling on several of your posts. Several of them are rife with spelling issues and I to find it very bothersome to inform the truth on the other hand I¡¦ll certainly come back again.
Hello Ellsworth
Thank you for the observation, couldn’t that be the translation issue?
Lorna
Thank you for excellent info I used to be on the lookout for this information for my
Hello Zachery,
Thank you for the visit.
Lorna
If you want to grow your experience just keep visiting this web page and
be updated with the latest news posted here.
Way cool! Some extremely valid points! I appreciate you penning this
post and also the rest of the site is extremely good.
0mniartist asmr
Thank you
Thanks for your marvelous posting! I really enjoyed reading it,
you happen to be a great author. I will always bookmark your
blog and will often come back someday. I want to encourage yourself to continue your great job,
have a nice afternoon!
Thank you
Outstanding story there. What happened after?
Thanks!
Nice blog here! Also your website loads up fast! What web host are you using?
Can I get your affiliate link to your host?
I wish my web site loaded up as quickly as yours lol
I absolutely love your blog.. Very nice colors & theme. Did you develop this site yourself?
Please reply back as I’m wanting to create my own website
and would like to learn where you got this from or what the theme is called.
Thank you!
Take a look at my blog … best kratom
I delight in, lead to I found exactly what I used to be having a look for.
You’ve ended my four day lengthy hunt! God Bless you
man. Have a nice day. Bye
my webpage: buy weed
Way cool! Some very valid points! I appreciate you writing this article and
the rest of the site is very good.
my page: cbd ingredients
naturally like your web-site however you need to check the
spelling on several of your posts. Many of them are rife with spelling
issues and I in finding it very bothersome to inform the reality nevertheless I’ll definitely come
again again.
Feel free to visit my web page – buy weed
I’m curious to find out what blog platform you are
utilizing? I’m having some small security issues with my latest website and I’d like to find
something more risk-free. Do you have any suggestions?
Also visit my web-site delta 8 thc gummies side effects
Howdy! I just wish to give you a big thumbs up for your great info you’ve got
here on this post. I will be returning to your web site for more soon.
Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as
though you relied on the video to make your point. You definitely
know what youre talking about, why waste your intelligence on just posting videos to your weblog when you could be giving us something enlightening to read?
Sorry sir, I relied on no video to make any point. Learn to learn.
Howdy! I’m at work browsing your blog from my new iphone 4!
Just wanted to say I love reading your blog and look forward
to all your posts! Carry on the great work!
Thank you
Thanks for your personal marvelous posting! I actually enjoyed reading it,
you happen to be a great author. I will be
sure to bookmark your blog and will often come back in the foreseeable
future. I want to encourage that you continue your great job, have a nice weekend!
Feel free to visit my homepage … maeng da kratom
I was pretty pleased to find this web site.
I wanted to thank you for your time due to this
fantastic read!! I definitely enjoyed every bit of it and i
also have you saved to fav to see new things on your blog.
Here is my webpage … deta 8 vapes (area52.com)
Wow, that’s what I was seeking for, what a material!
existing here at this webpage, thanks admin of this website.
Thank you
Hizi ni hadithi za kale zenye kuwakilisha imani na mtazamo wa jamii inayohusika kuhusu asili ya ulimwengu na mwenendo wake, kuhusu asili yao wenyewe, na maana na shabaha ya maisha yao. Mara nyingi hadithi hizi huaminiwa kuwa ni kweli tupu, na hutumika kuelezea au kuhalalisha baadhi ya mila na madhehebu ya jamii inayohusika. Vipera vya Ushairi Huu ni utanzu wa fasihi simulizi unaowasilishwa kwa hadhira kwa njia ya uimbaji au ughani badala ya usemaji wa kawaida.