NISITIRI: Nina Vipande vya Maisha Vilivyopotea

Wanayopitia Mabinti katika Ubinti wao!

Maisha yangu yamejaa uchungu na aibu” ….. Batuli Mwinyiheri

“Ninatamani kuendelea na masomo lakini nashindwa kutokana na hali halisi ya maisha yangu na wazazi wangu.

Nina umri wa miaka 14, baba yangu mzazi alishafariki na mama yangu aliolewa na mwanaume mwingine. Mume wa mama yangu, yaani baba yangu anayenilea sasa amekuwa akinitesa japo kama hupitii ninachopitia huwezi kuamini kama ananitesa. Mbele za watu anaonekana kutujali mimi na mama lakini sivyo ilivyo katika maisha halisi tunayoishi nyumbani kama familia.

Mama yangu amekuwa dhaifu kiafya kwa muda wa miaka miwili sasa. Anasumbuliwa na mgongo kutokana na kupigwa na baba. Mimi ndiye nimekuwa nikimtunza mama hasa nyakati za mchana ambapo baba anakuwa amekwenda shambani.

Nimeshavunja ungo. Nikiwa katika siku zangu huwa ninapata maumivu makali sana ya tumbo, mgongo, kiuno na kichwa. Katika kipindi kama hiki, siwezi kuvuka kizingiti cha mlango kwa sababu damu inachuruzika sana na sina kitu cha kuweka ili isipitilize.

Nguo zangu zimechakaa zote hadi sasa navaa nguo za shule hata ninapokuwa nyumbani nikimuuguza mama.

Mimi ndiye nafanya kila kazi nyumbani. Naamka saa kumi na moja asubuhi ili nikateke maji, nirudi nichanje kuni, nisafishe uwanda wa nyumba, niandae kifungua kinywa. Nimuogeshe na kuhakikisha amekula vizuri.

Nikitaka chochote kutoka kwa baba hata kama ni kwa ajili ya chakula anasema ni lazima nilipie. Nikimwambia sina hela anafanya tendo la ndoa na mimi kwanza ndipo anipe ninachohitaji. Wakati mwingine ananifanyia hivyo na asinipe ninachohitaji. Mara nyingi ananiambia inabidi nimsaidie mama yangu kwani alimuoa kwa ajili hiyo. Sijawahi kumwambia mama kwani najua ataumia sana. Naona kabisa maisha yangu yanavyopotea.

Nakushukuru sana nimeongea na wewe. Naomba unisaidie mama yangu apone. Akipona nitafurahi sana. Mama akipona najua nitarudi shule. Lakini pia naomba unisaidie nipate vitambaa vya kuweka nikiwa kwenye siku zangu.”

39 replies
    • lornadf
      lornadf says:

      Thank you for visiting. Your comment means a lot to us. Let us do it for the Girls! For Love, For our nation! For the World.

      Reply
  1. Auvela Skincare Malaysia
    Auvela Skincare Malaysia says:

    Nice post. I was checking constantly this blog and I am impressed!

    Extremely useful information specially the last part 🙂 I
    care for such information much. I was seeking this certain info for a long time.
    Thank you and best of luck.

    Reply
  2. Aviana
    Aviana says:

    Simply wish to say your article is as astonishing.
    The clarity in your post is simply cool and i could assume you’re an expert on this subject.
    Well with your permission let me to grab your RSS feed to keep updated with forthcoming post.
    Thanks a million and please keep up the gratifying work.

    Reply
  3. lornadf
    lornadf says:

    Thank you. Honestly I don’t know how it is done to be listed on Yahoo News, may be they just picked the article

    Reply
  4. Ellsworth Rimkus
    Ellsworth Rimkus says:

    obviously like your web-site however you need to take a look at the spelling on several of your posts. Several of them are rife with spelling issues and I to find it very bothersome to inform the truth on the other hand I¡¦ll certainly come back again.

    Reply
  5. Andy
    Andy says:

    Thanks for your marvelous posting! I really enjoyed reading it,
    you happen to be a great author. I will always bookmark your
    blog and will often come back someday. I want to encourage yourself to continue your great job,
    have a nice afternoon!

    Reply
  6. best kratom
    best kratom says:

    I absolutely love your blog.. Very nice colors & theme. Did you develop this site yourself?
    Please reply back as I’m wanting to create my own website
    and would like to learn where you got this from or what the theme is called.
    Thank you!

    Take a look at my blog … best kratom

    Reply
  7. buy weed
    buy weed says:

    naturally like your web-site however you need to check the
    spelling on several of your posts. Many of them are rife with spelling
    issues and I in finding it very bothersome to inform the reality nevertheless I’ll definitely come
    again again.

    Feel free to visit my web page – buy weed

    Reply
  8. with ps4 games
    with ps4 games says:

    Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as
    though you relied on the video to make your point. You definitely
    know what youre talking about, why waste your intelligence on just posting videos to your weblog when you could be giving us something enlightening to read?

    Reply
  9. maeng da kratom
    maeng da kratom says:

    Thanks for your personal marvelous posting! I actually enjoyed reading it,
    you happen to be a great author. I will be
    sure to bookmark your blog and will often come back in the foreseeable
    future. I want to encourage that you continue your great job, have a nice weekend!

    Feel free to visit my homepage … maeng da kratom

    Reply
  10. area52.com
    area52.com says:

    I was pretty pleased to find this web site.

    I wanted to thank you for your time due to this
    fantastic read!! I definitely enjoyed every bit of it and i
    also have you saved to fav to see new things on your blog.

    Here is my webpage … deta 8 vapes (area52.com)

    Reply
  11. AntonioAdupe
    AntonioAdupe says:

    Hizi ni hadithi za kale zenye kuwakilisha imani na mtazamo wa jamii inayohusika kuhusu asili ya ulimwengu na mwenendo wake, kuhusu asili yao wenyewe, na maana na shabaha ya maisha yao. Mara nyingi hadithi hizi huaminiwa kuwa ni kweli tupu, na hutumika kuelezea au kuhalalisha baadhi ya mila na madhehebu ya jamii inayohusika. Vipera vya Ushairi Huu ni utanzu wa fasihi simulizi unaowasilishwa kwa hadhira kwa njia ya uimbaji au ughani badala ya usemaji wa kawaida.

    Reply

Trackbacks & Pingbacks

Leave a Reply

Want to join the discussion?
Feel free to contribute!

Leave a Reply to Aviana Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *